SHOW YA JANA YA DIAMOND MWANZA YABUMA?



SHOW YA JANA YA DIAMOND MWANZA YABUMA?


Picha hii inasambaa mtandaoni, Kutoka Golden Creast Hotel Mwanza ambapo Diamond alikuwa na show jana kwaajili ya sikukuu ya wapendanao na kiingilio kinatajwa kuwa kulikuwa ni shilingi 20,000/- za kitanzania .  www.rockcityeye.blogspot.com tunaendelea kufuatilia  ili kupata taarifa zaidi za kilichojiri katika show hii

Leave a Reply